Mgombea huyo ni Fabian L. Skauki ambaye ni anagombea ubunge wa uchaguzi mdogo jimbo la CHALINZE kwa kumuwekea Pingamizi mgombea wa chama cha demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mathayo Torongey kwamba amepoteza sifa za kuwa mgombea.
kwa habar zaid bonyeza hapa---http://millardayo.com/cuf001/
No comments:
Post a Comment